fadlu davis

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Dalton elijah

    Raja Casablanca imetangaza rasmi Kumsajili kocha Fadlu Davis

    Kulingana na mapendekezo ya Mkurugenzi wa Michezo na tathmini ya jumla iliyofanywa na kamati ya michezo kuhusu hatua ya maandalizi ya msimu huu wa sasa, pamoja na mechi za kwanza rasmi, Klabu ya Raja ya Michezo inatangaza kumalizika kwa mkataba na kocha Bwana Saad Chabi na benchi lake la ufundi...
  2. DuaZaMama

    Rasmi kocha Fadlu Davis awaaga wanasimba

    Kupitia ukurasa wake rasmi wa Instagram aliyekuwa kocha wa Simba Sc Fadlu Davis amewaaga wanasimba Kwa kuandika... "Ni kwa moyo mzito naiaga Simba SC. Tangu nilipowasili, nilihisi shauku ya klabu hii kubwa na upendo wa mashabiki wake wa ajabu. Pamoja tulipigana, tukasherehekea, na tukaimarika...
  3. Ponjoro wa Kinondoni

    Tetesi: Zandaaaaani: Hatima ya Fadlu Davis kujulikana tarehe 16

    Uongozi wa Simba umempa kocha mechi 1 ya angalizo ambayo ametakiwa kushinda ili kuendelea kubaki klabuni hapo. Endapo Simba itafanya hivyo, basi zigo la lawama atakuwa akisukumiwa Fadlu kipindi yeye hayupo kila timu ikifanya vibaya.
  4. Frank Wanjiru

    Fadlu Davis; Yanga wana ubora kwenye match kubwa kuliko sisi

    "Niwe tu muwazi bado Nahitaji Mchezaji mmoja mwenye X Factor kwenye eneo la ushambuluaji, najua tumepata sapoti kubwa Sana kutoka kwa Rais Mo Dewji na mchango wake Msimu huu umekuwa mkubwa Sana" "Natumai sasa tunapoelekea mwishoni mwa usajili Jayrutty anaweza kutusaidia kumpata Mchezaji huyo...
  5. Inside10

    Fadlu Davis Kocha Wa Simba: Refarii Asitunyime Penati

    Kocha mkuu wa Simba amezungumza kuelekea mchezo wa Dabi nakumesema.." Labda watacheza kwa ajili ya sare, labda wataamua kubaki nyuma na kucheza kuipata sare maana bila shaka wakipata sare watakuwa mabingwa, na sisi tunahitaji kucheza kushinda (ili tuwe mabingwa)... Hivyo utakuwa mchezo wa...
  6. Mkalukungone Mwamba

    Simba na Kocha wao Fadlu Davis wapigwa faini ya milioni 7

    Klabu ya Simba imeadhibiwa kwa kutozwa faini ya Sh. 5,000,000 (milioni tano) kwa kosa la mashabiki wake kurusha chupa za maji uwanjani wakati wa mchezo tajwa hapo juu kwenye uwanja wa KMC Complex Mei 28, 2025. Adhabu hii ni kwa mujibu wa kanuni ya 47:1 ya Ligi Kuu kuhusu Udhibiti wa Klabu...
  7. MTAZAMO

    Kocha Fadlu na udhaifu wa umakini mwishoni mwa game

    Wakuu, Naomba viongozi wa Simba wamsaidie kocha Fadlu either matured assistant coaches au washauri kumsaidia kujua kucheza game dakika za lala salama. Pamoja na ubora wake lakini trend ya Simba kuruhusu goli dakika za jioni ndio zimeigharimu Simba game zote muhimu zikiwemo game ya Yanga, Azam...
Back
Top Bottom