Mgombea Ubunge wa Biharamulo Mhandisi Ezra Chiwelesa amesema kuandamana siku ya kupiga kura ni kosa kisheria maana huko ni kuzuia uchaguzi na pia jambo hilo litafanya kuwanyima wengine haki ya Msingi ya Kupiga Kura.
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Biharamulo Magharibi Mhandisi Ezra Chiwelesa kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM kwa kipindi Cha 2020-2025 amechukua fomu ya kugombea ubunge wa jimbo hilo kwa kipindi cha pili kama ulivyo utaratibu wa chama hicho.
Chiwelesa amesema matumani yake ni kuendelea...
Eng Ezra John Chiwelesa amechangiwa na wananchi wa biharamulo ili aweze kugombea tena ubunge wa jimbo la biharamulo magharibi
Wakati uwakilishi wake biharamulo imeshuhudia ukuaji mkubwa wa miundombinu na utoa wa huduma za kijamii kwa kasi kubwa .
Ujenzi wa barabara za lami za mitaa ,ujenzi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.