eneo linauzwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. W

    Plot4Sale Eneo linauzwa Kisemvule

    Eneo linauzwa lipo kisemvule-kibamba lenye ukubwa wa square meter 1200. Eneo lipo na msingi wa nyumba ya sitting room, kitchen, vyumba viwili kimoja ni master room pamoja na public toilet. Eneo lipo karibu na barabara na huduma za kijamii zinapatikana. 💲Bei ni million 10.5 📞Mawasiliano Calls...
  2. Ochoa Real Estate

    Plot4Sale Eneo linauzwa Tsh. Milioni 8, lipo Tegeta A Goba Mpakani

    Eneo linauzwa lipo Tegeta "A" Goba mpakani mtaa wa Mlimani City Dakika 2 tuu kutoka barabara kuu ya Mtaa ambayo itawekwa lami hivi karibuni. Kutoka site mpaka Goba Center ni mwendo wa dakika zisizo zidi 15 kwa gari/pikipiki. Kiwanja kipo mjini haswaa. Kiwanja kina size ya mita 10 X 10 yaani...
  3. No SQL

    Plot4Sale Eneo linauzwa Kigamboni Mwasonga, heka 2

    Nauza eneo langu, lipo Kigamboni Mwasonga heka mbili BEi: 15 million Halijapimwa, lina document za mauziano za serikali ya mtaa Linafaa kwa kukata viwanja, kilimo, ufugaji, makazi n.k Hyo barabara hapo inaelekea Kimbiji ambayo imeanza kupigwa lami. karibu PM tuzungumze.
  4. E

    Plot4Sale Eneo linauzwa Tabata Changombe

    ENEO LINAUZWA MILIONI 7 LENYE UKUBWA WA (8×12) LINAPATIKANA TABATA CHANGOMBE (KWA DKT KUNDY) DOCUMENT ZOTE ZIPO 0687103112
  5. K

    ENEO LINAUZWA

    Eneo lipo Mwasonga Kigamboni lina ukubwa wa heka 14 ila zinazouzwa ni heka 6 tu bei ni 6M kwa heka moja. Mawasiliano 0784427363.
  6. E

    Plot4Sale Viwanja na Mashamba vinauzwa sehemu mbalimbali Dar na Pwani

    Kazi kazi Nina nyumba Kali inauzwa iko Tabata Kisukuru Ina hati Tsh250ML Nina kiwanja kinauzwa Tabata Kisukuru ukubwa ni mita 20x30 ila nafasi ya kuongeza kubwa wa eneo ipo, kina faa kujenga Sheli sababu barabara kubwa ya lami itapita hapo siku sio nyingi, bei Tsh 50ML. Nina kiwanja maeneo...
  7. Sonship

    Plot4Sale Nauza viwanja maeneo mbalimbali Dar

    Nunua kiwanja kwa bei chee. Mbezi Msakuzi Makabe 18×22 kiwanja kina nyumba kuu kuu ya vyumba 3 bei mln 20 Kiluvya Gogoni 22×25 bei mln 9 Kiluvya kwa Komba 20×20 mln 6 Kiluvya kwa Sumaye 40×40mln 18 Kiluvya kwa Sumaye 20×20 bei mln 6 Viwanja vyote umeme na maji yapo jirani
  8. sangaima

    Tenda kwa madalali wa uuzaji wa maeneo na nyumba

    Eneo lenye ukubwa wa Sqm 3626 Na lina Nyumba 7 [ Moja ni main house yenye vyumba vitatu kimoja master, sebure kubwa, dining kubwa, public toilet na jiko] Na nyumba zengine 6 kila moja imegawanyika katika ( chumba na sebure 3 hivyo kufanya jumla ya chumba na sebule 18 na zote zinawapangaji. Na...
  9. sangaima

    Plot4Sale Eneo lenye nyumba 19 linauzwa Kimara

    Eneo lenye ukubwa wa Sqm 3626 Na lina Nyumba 7 [ Moja ni main house yenye vyumba vitatu kimoja master, sebure kubwa, dining kubwa, public toilet na jiko] Na nyumba zengine 6 kila moja imegawanyika katika ( chumba na sebure 3 hivyo kufanya jumla ya chumba na sebule 18 na zote zinawapangaji. Na...
  10. W

    Plot4Sale Tunauza viwanja maeneno mbalimbali Dar es Salaam

    Kiwanja kwa bei ya OFA ya kufungia mwaka. kiwanja kipo Mbezi Msakuzi kwa Lipelanya Shule ya Makamba. Ukubwa ni 45 kwa 35 metres. Bei ni million 30 tu. Umbali kutoka barabarani ni km 2 Mawasiliano 0715128827
  11. MtanzaniaMakini

    Plot4Sale Eneo linauzwa Manzese Argentina

    Habari ndugu kuna Eneo linauzwa Manzese Argentina. Eneo linatazamana na barabara kuu ya Morogoro road jirani kabisa na kituo cha Mwendokasi cha Argentina Eneo linafaa ujenzi wa hotel, shell au kuweka kitega uchumi chochote Bei 400ml maongezi yapo kwa maelezo zaidi What's up number +255628891673...
  12. D

    Plot4Sale Eneo linauzwa Mbweni

    Kwa wale wenye kutaka kuishi humo au kuweka Sheli ya mafuta au biashara kubwa yyte hii sehemu inafaa. Kuna nyumba mbili zimeungana na PANAUZWA kwa pamoja .Eneo lipo karibu kbsa na main road .Ukubwa ni square meter 1400 .Call 0759600684
  13. D

    Plot4Sale Eneo linauzwa Mbweni

    Wakuu Kuna boma linauzwa Mbweni Millioni 40 . Mtu ataendeleza tu hilo boma Mita 15.3 kwa mita 23 N.B chenye thamani ni kiwanja sio boma .Call 0759600684
  14. Mbimbinho

    Eneo Ekari 1 linauzwa Visiga

    Habari ndugu zangu JF. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Eneo la Ekari moja linauzwa. Mmiliki ni dada yangu kaomba nimtangazie Mahali: Kibaha Visiga, 500m kutoka barabara kuu ya Morogoro Bei: Tsh 18,000,000 (Mazungumzo yanakaribishwa) Mawasiliano: 0784 41 41 43 (Mwenye eneo, hakuna dalali)...
  15. W

    Plot4Sale Eneo kwenye fensi kubwa na majengo linauzwa 70 Milioni, Kibaha kwa Mathiasi

    ENEO: Ukubwa wa 6,196 sqm (mita za mraba). Ambalo limeendelezwa kwa kujengwa ukuta na majengo ya matumizi mbalimbali ambayo yapo katika hatua za kumalizika. umeme umekwisha fikishwa wa “three phase”. Eneo lipo karibu na shule ya primary na secondary ya St. Flora/Mikongeni, lipo kwenye barabara...
Back
Top Bottom