Kada wa Chama cha Mapinduzi CCM ambae pia ni Mtaalamu wa Maji na Madini Eng ,Emmanuel Kisendi amechukua fomu kuwania nafasi ya ubunge jimbo la Magu Mkoani Mwanza.
Eng Kisendi anasema huu ni wakati sahihi kabisa kwake kuwatumikia wanaMagu akiwa kama Mbunge wa jimbo hilo kwa kuwaletea maendeleo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.