Mwanasheria Mkuu wa Serikali atoa ufafanuzi kuhusu nafasi ya Makamu wa Rais
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari, ametoa ufafanuzi wa kisheria kuhusu lini nafasi ya Makamu wa Rais inakuwa wazi, akisema tarehe rasmi ya kujiuzulu kwa aliyekuwa Makamu wa Rais ni Septemba 4, 2026, kwa mujibu...
Ni lini sisi CHADEMA hatukuwalalamikia CCM kwenda kinyume na katiba toka enzi na enzi na Nchimbi akiwepo?
Wamepotezwa watu kibao, kina Saanane wamepotea ila Nchimbi ziiiiiii.
Upinzani umetekwa na upepo wa kipumbavu sana wa maslahi binafsi, na yenyewe kwa sababu ni viazi watupu yamejaa kama...