Mtoto wa baba wa taifa Emil Magige amechukua fomu ya kuomba kugombea ubunge jimbo la Kawe kwa tiketi ya CCM.
Emil, mhandisi kwa taaluma aliwahi kuwa mwenyekiti wa ccm Musoma vijijini miaka ya nyuma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.