elly sasii

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. kavulata

    Simba wasiwasahau Kayombo, Smart, Tatu Malogo na Elly Sasii wakati wa kufanya usajiri wao dirisha kubwa

    Wakati wanaposajili wasisahau ile nafasi ya pili kwenye ligi ya NBC waliipataje. Wasije wakasahau kuwa walikuwa na timu mbovu iliyosaidiwa kumaliza katika nafasi ya pili kwa msaada wa waamuzi. Wasithubutu kusahau mchango wa cepha Kayombo, Smart, Tatu Malogo na Elly Sasii. Pia wawashukuru Kidao...
  2. Tajiri Tanzanite

    Elly SaSii kuchezesha Kariakoo Derby Agost 8, 2024

    Hapo vip!! Ndio jamaa huyo hapo Hapo atambeba nani? --- Mwamuzi Elly Sasii amechaguliwa kuchezesha mechi ya nusu fainali ya Ngao ya Jamii kati ya Yanga sc dhidi ya Simba Sc itakayopigwa Agosti 8, 2024 katika dimba la Mkapa. Aidha Mwamuzi Ahmed Arajiga atachezesha mechi ya Azam Fc dhidi ya...
Back
Top Bottom