Mwanachama wa Chama cha ACT Wazalendo Ndugu Elisante Ngoma amechukua fomu ya kugombea Ubunge katika Jimbo la Same Magharibi. Elisante ambaye alijiunga na Chama hicho akitokea Chama cha NCCR Mageuzi alikokuwa Katibu Mwenezi wa Taifa ni mjukuu wa mgunduzi wa madini ya Tanzanite Ndugu Jumanne...
Katibu Mwenezi wa NCCR Mageuzi, Elisante Ngoma ametangaza kuhamia Chama cha ACT- Wazalendo huku akitaja sababu ni chama chake kupoteza dira katika kupambana na chama tawala, Chama cha Mapinduzi (CCM).
Ngoma amekuwa miongoni mwa vigogo waliohamia kwenye chama hicho hivi karibuni, akitanguliwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.