Mkuu wa Wilaya ya Ilala na Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wilayani humo, Edward Mpogolo, amesema kiongozi wa serikali hawezi kutenganishwa na utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kuwa ndiyo msingi wa kazi alizopewa kusimamia.
“Wewe ni kiongozi wa serikali, unasimamia...