Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Afya inaeleza kwamba Dkt. Liberate Mleoh alipata ajali akitokea Mkoani Songwe kwenye Mazishi ya Ofisa mwingine wa Wizara hiyo.
Namfahamu Marehemu, alikuwa Mtu Mwema, namuomba Mungu aipokee Roho yake, Amina!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.