Na Mwandishi Wetu,
Kahe
Wazee wa mila wa kabila la Wakahe na Wamaasai kutoka Kata ya Kahe Magharibi, wakiongozwa na Mwenyekiti wa Kijiji cha Ngasini, Mhe. Goodluck Meshack Mlay, pamoja na wazee wa Mila akiwemo Andasoni Kireja, Godsoni Samweli, Peter Melisoki na Laigwanani David Laiza...
Hali si shwari kwa Mbunge wa Jimbo la Vunjo mkoani Kilimanjaro, Dkt Charles Kimei (CCM) baada ya baadhi ya wananchi wa jimbo hilo kuanza kuhoji mambo mbalimbali zikiwemo ahadi zake wakati akiomba kura mwaka 2020.
Wananchi pia wanamlalamikia mbunge huyo kuwa haonekani jimboni kutatua changamoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.