dira ya taifa 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Doctor Mama Amon

    Dosari Kuu: Dira ya Taifa 2050 haijataja shabaha za Ufanisi wala vigezo vya kupima kasi ya Ufanisi kama Ilivyokuwa kwa Dira ya Taifa 2025

    I. Utangulizi Salaam Profesa Kitila Mkumbo na Timu yako. Nimepekua kitabu cha "Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050" kilichozinduliwa Jijini Dodoma, tarehe 15 Julai 2025 (Kiambatanisho A). Uzinduzi wake unahitimisha utekelezaji wa Dira ya Tanzania 2025 iliyoanza kutekelezwa mwaka 2000. Baada ya...
  2. M

    Rais Samia: Misaada na mikopo wakati mwingine inaambatana na masharti magumu yanayoathiri uhuru wa kujiamulia mambo yetu

    Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema dira ya maendeleo ya 2050 inalenga kuipeleka Tanzania kwenye uchumi wa kujitegemea. Ni safari ngumu na ndefu, lakini inawezekana. Misaada na mikopo ikitumia vizuri inaweza kuchangia maendeleo ya nchi, lakini haiwezi kuwa msingi wa maendeleo endelevu kwani...
  3. M

    Rostam Aziz: Mfumo sekta za kibenki uliopo hauruhusu mfanyabiashara wa kitanzania kukua

    Mwakilishi wa Sekta Binafsi, Rostam Azizi, ametoa wito kwa wadau wa maendeleo ya uchumi kufanya mabadiliko makubwa katika sekta ya kifedha ili kuhakikisha wafanyabiashara wa Kitanzania wanapata mitaji ya kutosha kwa ajili ya kuwekeza na kukuza biashara zao. Amesema mfumo wa sasa wa benki nchini...
Back
Top Bottom