Mkoa wa Katavi ni miongoni mwa mikoa minne mipya (Katavi, jombe, Simiyu na Geita) iliyoamuliwa kuanzishwa na serikali kwa lengo la kusogeza huduma za ki- utawala na Ki-uchumi kwa wananchi.
Katavi ni maarufu kwa shughuli mbali mbali za kiuchumi ikiwemo Kilimo, Uvuvi na Ufugaji.
Ardhi ya Katavi...