dioniz kipanya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Inside10

    Padri Vincent Kasana: Hadi Leo Dioniz Kipanya Hayupo!? Je, Tumuombe Kama Mfu Au Mzima

    https://www.instagram.com/reel/DVeoMXsjKC4/?igsh=a3BlaXY5bmptdWZu
  2. Waufukweni

    GE2025 Mwananchi: Mnakuja kutuomba Kura, Dioniz Kipanya ametekwa, wewe Waziri Mkuu mstaafu ni mkazi wa Rukwa hujawahi kusema chochote

    Mwananchi mmoja amembana Waziri Mkuu mstaafu, Mizengo Pinda, akidai kwamba wameenda kuomba Kura, huku Mtanzania mwenzeo Dioniz Kipanya ametekwa, na yeye kama Waziri Mkuu mstaafu ambaye ni mkazi wa Rukwa hujawahi kusema chochote.
  3. Waufukweni

    PreGE2025 Tundu Lissu: Miaka 4 ya Rais Samia tunataka atueleze Dioniz Kipanya aliyetekwa wamempeleka wapi?

    Akiwa Rukwa, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Tundu Lissu baada ya kuulizwa Miaka 4 ya Rais Samia ya uongozi wake amesema "tunataka atueleze Dioniz Kipanya aliyetekwa nyara wamempeleka wapi? Dioniz Kipanya ambaye alikuwa Katibu Mwenezi wa CHADEMA, Sumbawanga...
  4. Erythrocyte

    Je, tutaendelea kuvumilia kutekwa na kupotezwa kwa Viongozi wa CHADEMA hadi lini?

    Hili ni swali ninalolipeleka kwa Wanachama wa Chadema pamoja na viongozi wao, Wengine wanaopaswa kujibu maswali haya ni Wapenda haki wote, Wakiwemo pia viongozi wa Dini Hawa wengine tuliambiwa walikamatwa wakijiandaa kwenda Mbeya kwenye Maadhimisho ya siku ya Vijana ya Kidunia, Lakini Polisi...
Back
Top Bottom