Watanzania hatujazoea kuona damu za watu wetu, ndugu zetu zinamwaga kiholela;huu sio utamaduni wetu. Pamoja tunakataa utawala wa unyanyasaji ,tunakataa utawala wa mabavu, utawala unaomwaga damu za ndugu zetu bila kujali.
Pamoja tunakataa utawala wa watu wasiofuatata katiba na sheria za nchi...
Asante kwa wote walioshiriki kwenye hili. Historia haitowasahau, mlicheza upande uliosahihi. Ule uchaguzi ili mark mwanzo wa siasa mpya na mageuzi makubwa kwa nchi.
Huu ni moja ya UZI MFUPI ILA UNAWAFIKIA
Nitaendelea
Wanachama na wakereketwa wa chama cha kijani, zile kelele za kumhusisha na tuzo ya Nobel leo mnayo hiyo jeuri?
Mpigieni kampeni kwenye tuzo zilizowahi kushikwa na kina Dadaa huko siyo tuzo za watu maalumu
Salaam,
Rais Samia anazidi kutrend kimataifa, suala la Lissu limezidi kutrend na kumuweka kwenye spot Rais Samia. Sasa anaanza kufafanishwa na kina Museveni na Kagame. Kwenye hiyo video wanakwambia alisifiwa kweli alipoenda kumtembelea Lissu lakini kinachotokea sasa ni kama mtu mwingine kabisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.