dhiki ya maisha

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. H

    Kesi ya Uhaini ya Lissu: Serikali hii ni ya laana, imewatafuta watu wenye dhiki ya maisha na kuwafanya mashahidi wa kificho

    Kwenye kesi bandia iliyotengenezwa na watawala dhidi ya Lisu, kila mmoja alishangaa kuona wale mawakili wa mchongo wa serika wakikazania kuwa na mashahidi wa kificho. Watu mbalimbali walitoka na hisia tofauti tofauti. Baadhi mpaka walifikia kusema kuwa labda wale waliokuwa viongozi wa CHADEMA na...
  2. DuaZaMama

    PostGE2025 Sheikh Jongo: Dhiki ya maisha haimaliziki kwa kuandamana, kuchoma sheli za watu wala kupora mali za watu, watoto warudi vijijini wakalime mihogo

    Imamu Mkuu wa Msikiti wa Manyema na Mjumbe wa Baraza la Ulamaa BAKWATA Taifa, Sheikh Hamid Masoud Jongo, amesema kuwa dhiki ya maisha haimaliziki kwa kuandamana, kuchoma sheli za watu wala kupora mali za watu. Ameongeza kuwa watoto warudi vijijini wakalime mihogo, kwani Tanzania tuna ardhi...
Back
Top Bottom