Wengi tunauchukulia uongo kama ujanja wa kuishi au kutawala. Tunadanganya ili tupate nafasi, kupenya kwenye ulaji, kujiokoa, au kuonekana wema. Lakini taratibu, bila kujua, tunajenga taifa linaloharibiwa na uongo wa kila siku.
Biblia inasema nini juu ya uongo?
“Midomo ya uongo ni chukizo kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.