demokrasia makini

Leonard Shayo (born 1948) is a Tanzanian politician and member of the Demokrasia Makini party from Kilimanjaro Region. Running as the party's presidential candidate in the 14 December 2005 elections, Shayo placed ninth out of ten candidates, receiving 0.15% of the vote.

View More On Wikipedia.org
  1. Waufukweni

    GE2025 Ameir Hassan: Nikichaguliwa Rais, mtapokea mshahara wa TSh 500,000 kila mwezi

    Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia Makini Taifa, Ameir Hassan Ameir, amesema kuwa endapo wananchi wa Zanzibar watampa ridhaa ya kuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi katika uchaguzi ujao, atahakikisha kila mwananchi wa Zanzibar anapokea mshahara wa shilingi 500,000 za...
  2. Mindyou

    PreGE2025 Jaji Mkuu Mstaafu Mutunga, Martha Karua na wenzake 4 waiburuza Serikali ya Tanzania Mahakama ya Afrika Mashariki. Wataka fidia na msamaha

    Wakuu, Yaani hakuna kupumzika. Sasa hivi Serikali haipati tu upinzani kutoka ndani lakini hadi nje. Haya sasa, Martha Karua kaamua kuipeleka Serikali yenu Mahakamani. ================================ Martha Karua na wanaharakati wengine wanne wameiburuza na kuishtaki Serikali ya Tanzania...
  3. Waufukweni

    LGE2024 UPDP, Demokrasia Makini wazindua kampeni

    Kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa zikiwa zinakaribia ukingoni, viongozi wa vyama vya siasa nchini wameendelea kuhamasisha wananchi kushiriki kwa amani na utulivu kwenye uchaguzi huo. Mwenyekiti wa United Peoples Democratic Party (UPDP), Twalib Kabeje, amezindua kampeni za chama hicho...
Back
Top Bottom