Tokea mwezi wa 10 kulipokuwa na mgawo mkali wa maji, maeneo yetu ya Msewe, Chuo Maji na maeneo ya karibu tumekuwa tukipata maji takribani mara moja tu kwa wiki.
Hata hivyo, ndani ya mwezi huu maji yametoka mara mbili tu.
Tunaomba kufahamu kutoka DAWASA kama changamoto hii inasababishwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.