davidi kafulila

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. S

    Davidi Kafulila: Wachumi wanasema Vita ya Tatu ya Dunia itapiganwa kwa chokochoko za maji sio mafuta wala gesi

    Akiongea mbele ya wachambuzi wa habari na uchumi, Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia Nchini (PPPC), Bw. David Kafulila, alisisitiza kuwa migogoro mikubwa ya dunia siku za usoni haitatokana na mafuta au gesi, bali maji. Watafiti wanasema huenda Vita ya Tatu ya Dunia ikapiganwa kwa sababu ya...
  2. Mkalukungone Mwamba

    Kafulila: Bunge limeongeza ufanisi wa serikali

    Kamishna wa Ubia kati ya Serikali na Sekta Binafsi, Davidi Kafulila, ametoa tathmini yake ya Bunge la 12 kuwa lenye mafanikio makubwa kwa kuisimamia Serikali ya Awamu ya Sita kuwa na mafanikio kuliko awamu zilizopita. Kafulila amesema kuwa moja ya mikakati ya kupunguza umasikini nchini ni...
Back
Top Bottom