david kihenzile

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    PreGE2025 Kihenzile: Serikali yaanza Ujenzi wa Meli kubwa ya Mizigo Tani 3,500, Urefu zaidi ya Uwanja wa Mpira Ziwa Tanganyika

    Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile, amesema Serikali imeanza ujenzi wa meli kubwa ya mizigo yenye uwezo wa kubeba tani 3,500 katika Ziwa Tanganyika, ikiwa ni hatua kubwa ya kuimarisha usafiri wa majini na biashara katika eneo la Maziwa Makuu. Kihenzile amesema: "Meli hii itakuwa kubwa...
  2. upupu255

    PreGE2025 Mbunge Kihenzile akagua Ujenzi wa Kituo cha Afya Mninga, asisitiza ushirikiano wa Serikali na Wananchi

    Mbunge wa Jimbo la Mufindi Kusini na Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile amefanya ziara ya ukaguzi wa maendeleo ya ujenzi wa Kituo cha Afya cha Kata ya Mninga. Akizungumza na wananchi waliojitokeza kituoni hapo, Kihenzile amesema kuwa ujenzi wa kituo hicho hadi kukamilika siyo nguvu zake...
Back
Top Bottom