HARVARD vs TRUMP (2025): VITA KUU KATI YA ELIMU NA MADARAKA YA SERIKALI
Na Goodluck Maleko J
“Kwa mara ya kwanza katika historia ya Marekani ya kisasa, chuo kikuu kinapambana moja kwa moja na serikali kuu kuhusu kile kinachofundishwa, nani anayefundisha, na nani anaruhusiwa kujifunza. Harvard...
Kuna taarifa kwamba chuo kikuu maarufu duniani kinashutumiwa kuchochea vurugu dhidi ya wayahudi.
Na swali kwann gwajima ameweka bendera ya Israel nyumbani kwake?
Serikali ya Marekani imekifungia Chuo Kikuu cha Harvard kudahili wanafunzi wa kimataifa, na kuamuru wanafunzi wa kigeni waliopo wahamie vyuo vingine au wapoteze sifa ya kisheria ya kuishi nchini humo.
Uamuzi huo umetokana na chuo hicho kuchochea vurugu na chuki dhidi ya Wayahudi, na...
Kundi la maprofesa wa Marekani limeishtaki serikali ya Donald Trump kutokana na kitisho chake cha kuzuia ufadhili wa serikali wa dola bilioni 8.7 kwa Chuo Kikuu cha Harvard.
Kesi hiyo, iliyowasilishwa na Chama cha Waprofesa wa Vyuo Vikuu vya Marekani (American Association of University...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.