MGOMBEA nafasi ya udiwani wa Kata ya Mbweni kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulkadir Mgheni, ameendelea na kampeni zake leo akishirikiana na vigogo wa chama hicho wakiongozwa na Mwenyekiti wa CCM Mstaafu Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhan Madabida, na Mjumbe wa Kamati ya Ushindi Mkoa, Shyrose...