Habari za muda huu wakuu. Naomba kuuliza, je, huduma za usajili kama cheti cha kuzaliwa mtandaoni, TIN online, BRELA na nyinginezo—ni lazima upate msaada kutoka kwa wahusika, au ni suala la kuwa na ujuzi tu wa kutumia mifumo hiyo?
Tokea juzi ninapata shida kupata access ya kuingia inanigomea si kwa simu wala computer.
Shida ni nini?
Pia soma:
https://www.jamiiforums.com/threads/ccm-hawakurupuki-kwenye-mambo-yao-na-mtu-akizingua-anafinywa-ndani-huwezi-kuta-wanaparuana-nje-hapa-ndio-chadema-mnafeli.2297839/
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.