Hii shida ya mitandao ya simu imekuwa sikio la kufa kila siku linazuka jipya.
Hasa mitandao ya Yas na Airtel ilikuwa shida tupu!
Soma Pia: Changamoto ya Mawasiliano mtandao wa Yas
Kuna nini kinachoendelea? Maana shida ya mtandao imekuwa kero kila siku. Tumechoka sasa !
Wananchi wa Kata ya Unyahati wilayani Ikungi mkoani Singida wameiomba serikali kuharakisha ujenzi wa minara ya simu ili kurahisisha mawasiliano katika vijiji vyao kutokana na huduma hiyo kusuasua hivyo kulazimika kupanda juu ya miti na mawe ili kupata mawasiliano.
Kuna changamoto kubwa sana na inajirudia mara kwa mara kwenye ATM za NMB Buhongwa hali inayoleta usumbufu mkubwa kwa watumiaji wanaotokea maeneo mbalimbali na kuna taarifa kwamba wanafanya makusudi ili watu waende kwa mawakala ambako makato ni makubwa zaidi kwani changamoto huonekana zaidi...
Wakuu,
====
TAARIFA KWA UMMA
Septemba 28, 2024Mpendwa Mteja, Tunaomba radhi kwa changamoto za mtandao kwa sasa inayosababisha wateja wengi kushindwa kupata huduma. Timu yetu ya wahandisi inajitahidi kusuluhisha kwa haraka iwezekanavyo. Tunaomba radhi kwa usumbufu na tunashukuru kwa uvumilivu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.