Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Zanzibar kimekanusha madai yaliyotolewa na aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho visiwani humo, Said Mohamed, kwamba amefungua kesi kwa niaba ya chama kuhusiana na mgawanyo wa mali.
Kupitia taarifa yake kwa umma, CHADEMA Zanzibar kimesema...