ccm bila wasanii

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    Huyu Wakili Ukashu ameelezea vizuri sana kwanini watu maarufu wanapenda kwenda Bungeni. Neema iliyopo kwenye Ubunge ni kubwa sana

    Wakuu, Hili suala la watu maarufu kutaka kuwa wabunge na kuacha kazi walizonazo naona huyu jamaa ameielezea vizuri sana. Huyu ni Wakili anaitwa Emmanuel Ukashu ameelezea kwanini watu maarufu wanapenda kuwa wabunge. Hapa walikuwa kwenye mjadala hapo TBC uliofanyika a few days ago
  2. DuaZaMama

    GE2025 Mc Pilipili ajitosa udiwani kata ya Tambukareli

    Msanii na mchekeshaji maarufu nchini, MC Pilipili, ameonyesha dhamira ya kutumikia wananchi kwa vitendo baada ya kuchukua na kurejesha fomu ya kuwania nafasi ya Udiwani katika Kata ya Tambukareli, Jimbo la Mtumba, jijini Dodoma kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia...
  3. Cute Wife

    PreGE2025 Makalla: Maamuzi yamefanywa na Mkutano Mkuu hata mi naogopa, Malisa kaondolewa kwa utovu wa nidhamu

    Wakuu, Kwahiyo Mkutano Mkuu upo kama jiwe, limeshakauka haliwezi kufinywangwa? Wenzetu kwenye Mkutano Mkuu ni malaika hawawezi kukosea? Ikisemwa ndio imetoka hiyo?😂😂. Mpaka Makalla anatetemeka ugali usije kukatishwa shughuli yake ikaisha? :BearLaugh: Kupata taarifa na matukio yanayojiri...
Back
Top Bottom