Wakuu,
Nikisema hawa watu sio wa kuwaamini na hata Tanzanian tunapaswa ku-rethink mahusiano yetu na wao huwa mnaona kama siwakubali hawa jamaa
Haya sasa Nigeria limeshawakuta jambo
==============
Mkandarasi kutokea China, China Great Wall Industry Corporation, ametoa siku 30 kwa serikali ya...