Habari wakuu,wiki kadhaa zilizopita nilipost uzi nikieleza Nia yangu ya ya kuanza biashara ya uwakala wa miamala kwa Mtaji wa 2.5M, nashukuru kwa maelekezo mliyonipa,
Leo narudi Tena kuomba ushauri na muongozo kutoka kwa wale ambao mlishawahi kufanya biashara hii, Je ni mambo gani...