biashara ya kuku

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Naanza biashara ya kuku, wapi nipeleke kati ya Dar es Salaam na Dodoma?

    Habari... Nipo mkoa wa Tabora nataka kufanya biashara ya kuku na kupeleka Dar es salaam au Dodoma je wapi ni sahihi? Faida za Dodoma Bei inaweza kuwa juu kutokana na nature ya watu wanaoishi huku(Target costumer ni mostly employed) Ukaribu na Tabora kwa usafiri wa roli. Faida ya Dar es...
  2. Wale wanaopenda biashara ya kuku aina ya kuchi chimbo hili hapa

    Wakuu kama mjuavyo nikienda mahali huwa napenda kuwajulisheni namna kulivyo. Bila shaka mnajua wazi mimi ni mdau wa kilimo na ufugaji (mdau haswa sio mbabaishaji) Huko kwingine tupo tu kwa sababu tunaishi dunia ya watu wa aina zote but kila nikifungua jf muhimu niingie jukwaa la kilimo na...
  3. Hii Ndiyo Hadithi ya Mjasiriamali Anayejivunia mafanikio makubwa Kutokana na Biashara ya Kuku

    Alianza na nyoya moja la kuku alilo-okota njiani wakati akitembea matembezi ya jioni, lakini leo hii ni mfalme wa ufugaji wa kuku, akisambaza bidhaa zake katika masoko ya kimataifa. 😂😂👆🏾 sijui huwa mnatuonaje,ningekuwa na mamlaka nngechunguza biashara zenu
  4. B

    Nauza kuku chotara Bei elfu 10

    Kuku wapo Dsm mbweni jkt kwa mawasiliano 0612630936 … bei n elfu kumi kamili ndo wana miezi mitatu na siku 24
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…