Habari waungwana.
Nauza asali mbichi kwa bei ya jumla, kutoka mkoa wa Tabora.
Lita 1 ni elfu kumi 10k
Lita 5 ni elfu hamsini 50k.
Lita 20 ni laki mbili mzigo wako. Baki salama.
Ningependa kupata msaada kwa mwenye uzoefu wa kuuza asali nnje ya nchi. Kama kenya na kwingineko. au ambae tuanweza kushirikiana nae kufanya biashara hiyo mimi ni mtaalamu wa ufugaji nyyuki na kuzalisha asali.
Kwa mawasiliano 0764866851
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.