Betika is an online gaming firm based in Nairobi, Kenya, with operations in Kenya, Tanzania, Ethiopia, DRC, Ghana, Nigeria, Mozambique, Zambia, Uganda and Malawi. Betika has a number of products including Sportsbook Betting, Casino, Virtual Games, Crash Games and E-Sports Betting.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila ameyasema hayo leo April 15,2025 akiongea na waandishi wa Habari Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam wakati akikabidhiwa Jezi maalum ya kushiriki Betika Mbeya Tulia Marathon ambayo mwaka huu inatarajiwa kufanyika Mei 9 - 10, 2025 Jijini Mbeya...
Habari,
Napenda kukuandikia ujumbe huu kuomba msaada wa kutupazia sauti.
Kampuni ya Betika inayoendesha michezo ya betting imeshikilia pesa za wataja wao.
Pesa hizo zinahusisha miamala ya kudeposit na kutoa pesa. Changamoto hii inaenda kumaliza mwezi sasa bila suluhu yoyote ile.
Mwanzo...
Sekta ya michezo ya kubashiri (betting) imekuwa moja ya vyanzo vikuu vya mapato kwa serikali ya Tanzania. Kupitia kodi na leseni zinazolipwa na makampuni ya betting, serikali inapata fedha zinazochangia bajeti ya taifa. Kwa mfano, kodi kutoka sekta hii imesaidia kufadhili miradi mbalimbali ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.