bawasili

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. MAFIA MGAX

    BAWASILI

    Habari wanajamii forum.mimi ni kijana wa miaka 25,nimejigundua ninaugonjwa wa BAWASILI wiki moja iliyopita na hapohapo nikaanza matibabu japo hii yangu ni stage ya kwanza na inaonekana ni ndogo sana,tangu nianze matibabu ya dawa za mahospitalini ninaweza kusema ninashukuru sana kwa sababu...
  2. B

    Ni Muda huu nasikiliza Mchungaji anakeme Bawasili, na kumwagiza muumini aende uani akajitazame amepona

    Ni kweli ukiwa na matatizo unakuwa na hali ya kitanga tanga sana ili upate msaada. Bawasili ni uvimbe unaotokea ktk njia za haja kubwa kutokana na kuvimba kwa mirija ya damu inaopeleka damu sehemu hizo. Mishipa hii ni matawi ya mirija mikubwa kutoka tumboni. Mishipa hiyo ni Superior Mesentary...
Back
Top Bottom