Habari wanajamii forum.mimi ni kijana wa miaka 25,nimejigundua ninaugonjwa wa BAWASILI wiki moja iliyopita na hapohapo nikaanza matibabu japo hii yangu ni stage ya kwanza na inaonekana ni ndogo sana,tangu nianze matibabu ya dawa za mahospitalini ninaweza kusema ninashukuru sana kwa sababu...
Ni kweli ukiwa na matatizo unakuwa na hali ya kitanga tanga sana ili upate msaada.
Bawasili ni uvimbe unaotokea ktk njia za haja kubwa kutokana na kuvimba kwa mirija ya damu inaopeleka damu sehemu hizo.
Mishipa hii ni matawi ya mirija mikubwa kutoka tumboni. Mishipa hiyo ni Superior Mesentary...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.