Naomba kujuzwa hili Baraza la Mapinduzi ambalo Rais wa Zanzibar ni Mwenyekiti wake linaundwa na watu gani?
Wajumbe wa Baraza hili wanapatikanaje, kuchaguliwa au maveterani wa mapinduzi?
Nani katibu wake?
Vikao vyake hufanyika mara ngapi kwa mwaka?
Agenda zao huwa zipi?
Hivi vyeo viwili...