Baraza la Mapinduzi ambalo Rais wa Zanzibar ni Mwenyekiti wake linaundwa na watu gani?

EINSTEIN112

JF-Expert Member
Oct 26, 2018
21,713
35,525
Naomba kujuzwa hili Baraza la Mapinduzi ambalo Rais wa Zanzibar ni Mwenyekiti wake linaundwa na watu gani?

Wajumbe wa Baraza hili wanapatikanaje, kuchaguliwa au maveterani wa mapinduzi?

Nani katibu wake?

Vikao vyake hufanyika mara ngapi kwa mwaka?

Agenda zao huwa zipi?

Hivi vyeo viwili havitenganiki yaani akiwa Rais anatekeleza mambo ya kitaifa akaitwa Rais na akiwa akitekeleza mambo ya Baraza akaitwa Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi kama ilivyo kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi.
 
Mwenyekiti wa baraza la mapinduzi ni kati ya majina/sifa za rais wa Zanzibar, mengine yaweza kuwa mkuu wa serikali na amiri jeshi mkuu wa vikosi maalum (rejea marekebisho ya katiba ya Zanzibar ya 2010)

Baraza la mapinduzi kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar ni sawa na baraza la mawaziri, huundwa na:

  • Rais ambaye ni mwenyekiti wake
  • Makamo wa kwanza na wapili wa rais
  • Mawaziri na manaibu
  • Mwanasheria mkuu wa Zanzibar (exofficial member)
  • Katibu mkuu kiongozi ambaye pia ni katibu wa baraza la mapinduzi

Kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar baraza la mapinduzi ndio chombo kikuu cha kumshauri rais wa Zanzibar.

Maalim naye yumo barazani.
 
Mwenyekiti wa baraza la mapinduzi ni kati ya majina/sifa za rais wa Zanzibar, mengine yaweza kuwa mkuu wa serikali na amiri jeshi mkuu wa vikosi maalum (rejea marekebisho ya katiba ya Zanzibar ya 2010)

Baraza la mapinduzi kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar ni sawa na baraza la mawaziri, huundwa na:

  • Rais ambaye ni mwenyekiti wake
  • Makamo wa kwanza na wapili wa rais
  • Mawaziri na manaibu
  • Mwanasheria mkuu wa Zanzibar (exofficial member)
  • Katibu mkuu kiongozi ambaye pia ni katibu wa baraza la mapinduzi

Kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar baraza la mapinduzi ndio chombo kikuu cha kumshauri rais wa Zanzibar.

Maalim naye yumo barazani.
Kwa Sasa waziri kiongozi wa Zanzibar anaitwa nani?
 
Kuna katibu wao ambaye anaitwa katibu mkuu kiogozi anateuliwa na rais kwa sasa ni mwanamama aliwahi huwa hapa bongo ikulu ya magogoni na baadae wizara ya nishati nimemsahau jina ila msambwanda sijausahau
Katibu kiongozi na waziri kiongozi ni vitu viwili tofauti. Waziri kiongozi alikuwa sawa na waziri mkuu kwa serikali ya muungano.
 
... ili kuepusha confusion na Bara, similar entities and positions huko Zanzibar zilibadilishwa majina. Mifano michache:-
  • Bunge (Tanganyika) <=> BLW (Znz)
  • Baraza la Mawaziri (Tanganyika) <=> Baraza la Mapinduzi (Znz)
  • Waziri Mkuu/Prime Minister (Tanganyika) <=> Chief Minister/Waziri Kingozi (Znz - formerly anyway)
  • Mbunge (Tanganyika) <=> Mwakilishi (Znz)
  • etc.
 
Sasa nani kasema waziri kiongozi .unamatatizo wewe .
Wewe ndio una matatizo, kwa nini uli-quote bandiko langu? Ulijua nilichokuwa namjibu aliyeuliza jina la waziri kiongozi? Msiwe mnadandia mabandiko ya watu na ku-quote bila kuelewa mukthadha wa bandiko lenyewe! Una shida kichwani kwako!
 
Mwenyekiti wa baraza la mapinduzi ni kati ya majina/sifa za rais wa Zanzibar, mengine yaweza kuwa mkuu wa serikali na amiri jeshi mkuu wa vikosi maalum (rejea marekebisho ya katiba ya Zanzibar ya 2010)

Baraza la mapinduzi kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar ni sawa na baraza la mawaziri, huundwa na:

  • Rais ambaye ni mwenyekiti wake
  • Makamo wa kwanza na wapili wa rais
  • Mawaziri na manaibu
  • Mwanasheria mkuu wa Zanzibar (exofficial member)
  • Katibu mkuu kiongozi ambaye pia ni katibu wa baraza la mapinduzi

Kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar baraza la mapinduzi ndio chombo kikuu cha kumshauri rais wa Zanzibar.

Maalim naye yumo barazani.
Kwanini umepigia mstari kwa Maalim Seif.
 
Baraza la mapinduzi kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar ni sawa na baraza la mawaziri, huundwa na:

  • Rais ambaye ni mwenyekiti wake
  • Makamo wa kwanza na wapili wa rais
  • Mawaziri na manaibu
  • Mwanasheria mkuu wa Zanzibar (exofficial member)
  • Katibu mkuu kiongozi ambaye pia ni katibu wa baraza la mapinduzi
Mkuu mawaziri wa huko hawaingii kwenye hilo baraza la mapinduzi?
 
Mwenyekiti wa baraza la mapinduzi ni kati ya majina/sifa za rais wa Zanzibar, mengine yaweza kuwa mkuu wa serikali na amiri jeshi mkuu wa vikosi maalum (rejea marekebisho ya katiba ya Zanzibar ya 2010)

Baraza la mapinduzi kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar ni sawa na baraza la mawaziri, huundwa na:

  • Rais ambaye ni mwenyekiti wake
  • Makamo wa kwanza na wapili wa rais
  • Mawaziri na manaibu
  • Mwanasheria mkuu wa Zanzibar (exofficial member)
  • Katibu mkuu kiongozi ambaye pia ni katibu wa baraza la mapinduzi

Kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar baraza la mapinduzi ndio chombo kikuu cha kumshauri rais wa Zanzibar.

Maalim naye yumo barazani.
Nijuavyo Rais ana vyeo vingi kulingana na matukioa anayo-adress

Amiri jeshi mkuu wakati anashughulikia mambo ya kijeshi.
Mwenyekiti wa chama anaposhughulika na vikao au mambo ya kichama.

sasa kama Baraza la mapinduzi ni kama Baraza la Mawaziri kama unavyosema kuna ulazima gani kumvalisha vyeo vyote kwa mpigo wakati wote. Kwani Rais wa Jamhuri sio Mwenyekiti wa Vikao vya Baraza la Mawaziri??.

NB: sina uhakika kama Naibu Mawaziri wanahudhuria vikao vya Baraza la Mawaziri.
 
Mwenyekiti wa baraza la mapinduzi ni kati ya majina/sifa za rais wa Zanzibar, mengine yaweza kuwa mkuu wa serikali na amiri jeshi mkuu wa vikosi maalum (rejea marekebisho ya katiba ya Zanzibar ya 2010)

Baraza la mapinduzi kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar ni sawa na baraza la mawaziri, huundwa na:

  • Rais ambaye ni mwenyekiti wake
  • Makamo wa kwanza na wapili wa rais
  • Mawaziri na manaibu
  • Mwanasheria mkuu wa Zanzibar (exofficial member)
  • Katibu mkuu kiongozi ambaye pia ni katibu wa baraza la mapinduzi

Kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar baraza la mapinduzi ndio chombo kikuu cha kumshauri rais wa Zanzibar.

Maalim naye yumo barazani.
Nijuavyo Rais ana vyeo vingi kulingana na matukioa anayo-adress

Amiri jeshi mkuu wakati anashughulikia mambo ya kijeshi.
Mwenyekiti wa chama anaposhughulika na vikao au mambo ya kichama.

sasa kama Baraza la mapinduzi ni kama Baraza la Mawaziri kama unavyosema kuna ulazima gani kumvalisha vyeo vyote kwa mpigo wakati wote. Kwani Rais wa Jamhuri sio Mwenyekiti wa Vikao vya Baraza la Mawaziri??.

NB: sina uhakika kama Naibu Mawaziri wanahudhuria vikao vya Baraza la Mawaziri.
 
Back
Top Bottom