barabara mbezi beach

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. P

    Mtaro mbele ya Shule ya Talantah International (Mbezi Beach) umezibuliwa, TARURA boresheni na barabara za mtaani

    Salaam Wakuu, Ule mtaro uliokuwa umeziba maji wazibua, maji yalikuwa yametuama na kusababisha kero kubwa yameweza kwenda. Hii isiishie hapo. Barabara ya eneo hilo itengenezwe, na njia za mitaani pia zifanyiwe kazi. Zege mtaani haliwashindi bwana. Yaani mvua ikinyesha kidogo tu tunataabika...
  2. P

    KERO Shukran DAWASA kurekebisha palipokuwa na shida hadi kutengeneza shimo, TARURA lini mtakuja kuweka lami/zege maeneo ya Mbezi Beach kwa Dr. Hiza?

    Wakuu, Niliweka uzi majuzi wa shimo lililokuwa linazidi kuchimbika kutokana na bomba kuwa na hitilafu na hivyo kutiririsha maji na kufanya ardhi eneo hilo kubonyea kirahisi na kuharibika (zaidi soma hapa: Serikali mnasubiri mpaka sehemu hii ya barabara iwe handaki? Ni kero kubwa kwa wakazi wa...
  3. P

    KERO Responded Serikali mnasubiri mpaka sehemu hii ya barabara iwe handaki? Ni kero kubwa kwa wakazi wa Mbezi Beach

    Wakuu, Kipande hiki cha barabara ni maeneo ya Mbezi Beach Dar upande wa chini, ambako si mbali sana kutoka ilipo supermark ya Shopaz (kwa ambao si wenyeji wa maeneo haya), kipande hiko cha lami kinachoonekana hapo mwisho kwenye video ndio kinashuka na kupita ilipo supermarket ya Shopaz. Sehemu...
Back
Top Bottom