baba levo kugombea

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. E

    GE2025 Baba Levo: Simtaki Nondo, Namtaka Zitto

    Muda mfupi baada ya Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa Chama cha ACT Wazalendo, Abdul Nondo kuchukua fomu ya kugombea ubunge Kigoma Mjini, kada wa CCM, Clayton Revocatus Chipando maarufu Baba Levo anayewania jimbo hilo, amedai kuwa hizo ni njama za kumwepusha kiongozi mstaafu wa ACT Wazalendo...
  2. Mindyou

    GE2025 VIDEO: Baba Levo kama alishindwa kujibu maswali mepesi kama haya, anawezaje kuwa Mbunge?

    Wakuu Nimekutana na clip hii ya Baba Levo akiwa ameulizwa maswali mepesi kabisa na huyu comedian anaitwa Kipotoshi. Hii interview ina miaka takribani minne lakini it is very relevant hata sasa Yaani anaulizwa muswada ni nini hajui, muswada ni topic ipo form 1 sijui form 2 Soma pia: Baba Levo...
  3. McLaren

    GE2025 Baba Levo afika Kigoma ili kuchukua fomu ya Ubunge kupitia CCM

    Wakuu Kumbe huyu jamaa alikuwa serious kuhusu kuchukua fomu na kugombea Ubunge wa Kigoma Mjini Naona leo amewasili mkoa wa kigoma kwaajili ya kukamilisha hatua za uchukuaji wa fomu za kutia nia ya kugombea ubunge kigoma mjini kupitia tiketi ya CCM Yaani mtu anaishi Dar lakini anaenda kugombea...
  4. Waufukweni

    PreGE2025 Baba Levo apokelewa Kigoma, asema hatutapiga kura kwa Rais Samia, bali tutarundika kura 2025

    "Hakuna Kazi Nyengine Nitakayoifanya Zaidi Ya Kumsaida Dkt. Samia Suluhu Hassan Ili Akija Katika Jimbo Hili La Kigoma Mjini Sio Kumpigia Tu Kura Tumrundikie" Baba Levo ameyasema hayo jana Mei 20, Mkoani Kigoma wakati alipokutana na Wanachama wa CCM na kukabidhiwa Kadi ya Uanachama na...
Back
Top Bottom