asma mwinyi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    GE2025 Wajumbe wampitisha kwa kishindo Asma Ali Hassan Mwinyi

    Asma Ali Hassan Mwinyi ameibuka mshindi katika kura za maoni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa nafasi ya Ubunge Jimbo la Welezo Zanzibar. Ushindi huo unampa nafasi kubwa ya kupeperusha bendera ya CCM katika Uchaguzi Mkuu ujao.
  2. DuaZaMama

    PreGE2025 Asma Mwinyi achukua fomu ya kuomba ubunge jimbo la Welezo

    Mwenyekiti na Muanzilishi wa Taasisi ya Asma mwinyi foundation, Asma Mwinyi achukua fomu ya kuomba ridhaa ya Chama cha Mapinduzi CCM kuwania Ubunge Jimbo la Welezo Wilaya ya Mfenesini Unguja Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025
Back
Top Bottom