askofu msonganzila

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Askofu Msonganzila: Vyombo vya habari vinaweza kuchangia migogoro ya kisiasa, visikubali kutumiwa ovyo ovyo

    Akizungumza na waandishi wa habari mjini Musoma leo Jumanne Machi 10, 2026, Askofu wa Jimbo Katoliki la Musoma, Michael Msonganzila amevitaka vyombo vya habari kuwa waangalifu vinapotafuta habari kwani vinaweza kuchangia kuleta migogoro ya ajabu ya kisiasa, na visikubali kutumiwa ovyo ovyo
  2. M

    Askofu Msonganzila: Imefika wakati tufanye mabadiliko ndani ya jeshi la Polisi

    Askofu Michael Msonganzila ametoa pendekezo hilo wakati akizungumzia kitendo cha jeshi polisi kuwashambulia bawacha eneo la kanisani --- Askofu wa Jimbo Katoliki la Musoma, Michael Msonganzila amelaani tukio la Jeshi la Polisi kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wanachama, wafuasi na...
Back
Top Bottom