Mfanyabiashara maarufu wa madini Mererani na Mmiliki wa SG RESORT ya Arusha, Bw. Erasto Msuya Amepigwa risasi ndani ya gari lake na kufa papo hapo mida hii akitokea Mererani kuelekea Moshi.
Yasemekana wauaji wamekimbia na briefcase lake.
PICHA: Mwili wa Erasto Msuya ukiwa umelala chini baada...