Arumeru District (Meru District and Arusha Rural District) is a former district in the Arusha Region of Tanzania. It was bordered to the north, west, and southwest by Monduli District, to the southeast by the city of Arusha, and to the east by the Kilimanjaro Region.
As of 2002, the population of the Arumeru District was 516,814.
CHAMA CHA AAFP WILAYA YA ARUMERU KINATANGAZA KUJITOA KATIKA MCHAKATO WA UCHANGUZI WA UBUNGE NA MADIWANI KATIKA MCHAKATO WA UCHAGUZI ΚΑΤΙΚΑ MAJIMBO YA ARUMERU MASHARIKI NA ARUMERU MAGHARIBI
Chama cha AAFP wilaya Arumeru, Kwa masikitiko makubwa tunatangaza kujitoa katika mchakato wa uchaguzi wa...
Mgombea wa nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki, Joshua Nasari, ametua kwa kishindo mkoani Arusha na kurejesha fomu ya kuwania nafasi ya ubunge katika jimbo hilo ofisi za Tume ya Uchaguzi zilizopo kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Meru.
Tukio hilo limehudhuriwa na wananchi...
Mfanyabiashara maarufu wa mazao anayefahamika kwa jina Johnson Exaud Sarakikya, amerejesha fomu ya kuwania nafasi ya ubunge katika Jimbo la Arumeru Mashariki kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Julai 02, 2025.
Msomi na Mhadhiri wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Mathew Mndeme, amechukua fomu ya kuwania nafasi ya Ubunge katika Jimbo la Arumeru Mashariki kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Akizungumza mara baada ya kuchukua fomu hiyo, Mndeme amesema kuwa...
"Sasa nafikiri imefika muda ni wakati wa uchaguzi na mwaka wa uchaguzi na mimi nimewiwa kuzisikiliza sauti za watu wa Meru. Nimezisikiliza kisawasawa kwahiyo nimedhamiria na nimekuja kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa na chama cha mapinduzi kupeperusha bendera ya kiti cha ubunge Jimbo la Arumeru...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.