Arumeru District (Meru District and Arusha Rural District) is a former district in the Arusha Region of Tanzania. It was bordered to the north, west, and southwest by Monduli District, to the southeast by the city of Arusha, and to the east by the Kilimanjaro Region.
As of 2002, the population of the Arumeru District was 516,814.
Aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai,lengai ole sabaya anatajwa kuingia kweye kinyanganyiro Cha kugombea nafasi ya ubunge katika Jimbo la Arumeru Magharibi,Kwa tiketi ya Chama Cha CCM.
Sabaya anatarajiwa kuchuana na wagombea wengine 20 waliokwisha chukua fomu za ubunge kupitia Jimbo la Arumeru...
Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa, Ezekiel Mollel naye amechukua fomu ya kuwania ubunge Jimbo la Arumeru Magharibi.
Mollel ambaye pia ni mwalimu amekabidhiwa fomu hiyo leo Jumapili Juni 29, 2025, na Katibu wa CCM Wilaya ya Arumeru, Kamila Kigosi.
Wananchi wa Kiranyi wilaya ya Arumeru wamefunga barabara kwa zaidi ya masaa matatu kwa lengo lakufikisha ujumbe kwa serikali, kutokana na ubovu wa barabara hiyo kwa muda mrefu huku wakilaumu MBUNGE wa eneo hilo kuwa mzigo kwa wananchi hao kwakushindwa kutekeleza ahadi yake ya Ujenzi wa Barabara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.