Habari wandugu!
Tokea jana naona app ya halotel inanikatalia kufanya kazi. Nikiingia nakutana na ujumbe unaonambia ni update app yangu. Nikienda play store nakuta hakuna updates zozote yaani app inaniambia "Open" meaning hakuna option ya ku update.
Nimengia katika mfumo wa kawaida wa *150*88#...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.