Mnaotumia true call mnaweza kujiuliza leo tarehee 9 .App ya true call inaweza kukuonesha wanaokutafuta kama wataweka namba yako.
Na kwa nini ili jambo limeanza leo
Hivi kulikuwa Kuna ulazima Gani wa nyinyi kubadili mfumo wa hiyo app yenu?
Sasa hivi hakuna kitu watu wanaangalia kwa Raha, imekua kero na wasumbufu, jiangalieni!
====
Maoni ya wadau wengine