anhinga rufa

The African darter (Anhinga rufa), sometimes called the snakebird, is a water bird of sub-Saharan Africa and Iraq.

View More On Wikipedia.org
  1. Damaso

    Je ulaji wa ndege aina ya Anhinga una tatizo?

    Anhinga ama kisayansi kwa jina la Anhinga rufa, ni ndege anayepatikana hasa katika maeneo ya kusini mwa Afrika. Ndege huyu ni maarufu kwa uwezo wake mkubwa wa kuvua samaki na hata kula nyoka, akitumia mbinu zake za kipekee katika kuwinda. Hata hivyo, kuna watu ambao hula nyama ya ndege huyu...
Back
Top Bottom