Anhinga ama kisayansi kwa jina la Anhinga rufa, ni ndege anayepatikana hasa katika maeneo ya kusini mwa Afrika. Ndege huyu ni maarufu kwa uwezo wake mkubwa wa kuvua samaki na hata kula nyoka, akitumia mbinu zake za kipekee katika kuwinda.
Hata hivyo, kuna watu ambao hula nyama ya ndege huyu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.