Anaitwa Nashir Adam ana umri wa miaka 29 mkazi wa Kigamboni Dar es Salaam, familia inamtafuta baada ya kutoonekana wala kupatikana kwenye simu tangu tarehe 28 ya mwezi June.
Familia imejitahidi kadri ya uwezo kumtafuta bila mafanikio, tunaomba kwa teyote atakayefanikiwa kumuona popote apige...