ahadi za wanasiasa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Diwani wa Kata ya Marangu Mashariki: Wananchi,wao hawanidai chochote, mimi ndio nawadai

    Diwani wa Kata ya Marangu Mashariki Jimbo la Vunjo, Jonas Mawala ameweka wazi kuwa ahadi nyingi walizo ahidi kwa kushirikiana na mbunge wa jimbo hilo Dk.Charles Kimei wamezitekeleza na hakuna wanacho daiwa na Wananchi. Ametoa kauli hiyo Aprili 17, 2025 wakati akielezea mafanikio yaliyopatikana...
  2. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Bibi wa miaka 74 apewa bajaji na Tv na RC Makonda

    Mkuu wa Mkoa wa Arusha , ameahidi kutoa Bajaji mpya na runinga kwa Bi. Arafa Yusuph Matoke (74),ambaye ni miongoni mwa maelfu ya wanawake wanaoshiriki shamrashamra za kuelekea Kilele cha siku ya wanawake Machi 08, 2025. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025...
  3. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Elia Kitomo akabidhi mifuko 10 ya saruji kwa shule ya msingi Ibogo, Iringa

    Mdau wa maendeleo mkoani Iringa Elia Kitomo amekabidhi mifuko 10 ya simenti katika shule ya Msingi Ibogo inayopo kijiji cha Magubike kata ya Nzihi ndani ya jimbo la Kalenga mkoani Iringa. Kitomo ametekeleza ahadi hiyo aliyoitoa katika mahafali yaliyopita shuleni hapo akiwa mgeni rasmi...
  4. P h a r a o h

    Tumeanza ujenzi wa kiwango cha lami

    tumeanza ujenzi wa kiwango cha lami, tunategemea kumalizia mapema 2026.
Back
Top Bottom