Laana ni nini?
Kwa mujibu wa Biblia laana ina maana kadhaa wa kadhaa ikiwa ni pamoja na;
1. Kuwa na maisha yasiyo zaa
2.Kutambaa (kuwa na hatua hafifu kwenye maisha)
3.Kufa, hapa namaanisha kifo cha mwili au kuishi maisha kama mfu. Au kuishi mahali ambapo kila kitu kimekufa.
4.Kuzaa watoto...