abbas araghchi

Abbas Araghchi (Persian: عباس عراقچی, pronounced [ʔæbˌbɒːse æɾɒːˈɢtʃi] ; also spelled Araqchi, born 5 December 1962) is an Iranian diplomat and politician who has served as the foreign minister of Iran since August 2024. He previously served as the spokesperson for the Ministry of Foreign Affairs and as the Iranian ambassador to Finland and to Japan.

View More On Wikipedia.org
  1. IRAN: Kuna hali ya misuguano ya kimamlaka kati ya Abbas Araghchi na viongozi wa IRGC kuhusu udhibiti wa Mlango wa Hormuz

    Siku ya Ijumaa, Aprili 17, 2026, Waziri wa Mambo ya Nje, Abbas Araghchi, alitangaza kupitia mtandao wa X kuwa Mlango wa Hormuz uko "wazi kabisa" kwa meli zote za kibiashara. Alidai uamuzi huo umefikiwa kufuatia makubaliano ya kusitisha mapigano huko Lebanon. Ndani ya saa 24, viongozi wa IRGC...
  2. Abbas Araghchi:The World Top Diplomat

    He is cool, assertive, calculated, intelligent and explanative. May God protect him
  3. Iran yakubali kufungua mlango Bahari wa Hormuz kwa muda wa wiki mbili

    Waziri wa mambo ya nje wa Iran, Abbas Araghchi, ametangaza kuwa Iran itakubali kusitisha mapigano na Marekani “ikiwa mashambulizi dhidi ya Iran yatasitishwa”. Aliongeza kusema kuwa “kwa kipindi cha wiki mbili, usafiri salama kupitia Mlango-Bahari wa Hormuz utafunguliwa”. Waziri Mkuu wa...
  4. R

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Mfumo wa Kisiasa wa Iran haujayumbishwa licha ya mauaji ya viongozi wake

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, akizungumza na Al Jazeera leo Machi 18, 2026 amesema Mfumo wa kisiasa wa Iran haujayumbishwa na mashambulizi ya kijeshi wala mauaji ya maafisa waandamizi, “Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ina muundo imara wa kisiasa wenye taasisi zilizojengeka...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…