Waziri wa mambo ya nje wa Iran, Abbas Araghchi, ametangaza kuwa Iran itakubali kusitisha mapigano na Marekani “ikiwa mashambulizi dhidi ya Iran yatasitishwa”.
Aliongeza kusema kuwa “kwa kipindi cha wiki mbili, usafiri salama kupitia Mlango-Bahari wa Hormuz utafunguliwa”.
Waziri Mkuu wa...