Nyingine ya ukweli katika simu yako si yakukosa

Nyingine ya ukweli katika simu yako si yakukosa

mwanaMtata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2014
Posts
2,393
Reaction score
1,433
Okay wadau kama mnakumbuka previous niliongelea launcher ilikua inaitwa "SOLO LAUNCHER" kama ilikupita kaitazame hapa
Furahia simu yako hapa
...
Okay leo nawaletea launcher ingine matata sana na kama kawaida kasim kangu kalekale y300-100 kitatumika kama tester ila yeyote mwenye sim ya aina yoyote inayorun version 4.0 and above anaweza enjoy...
Launcher ya leo inaitwa "(IO-LAUNCHER) ipakue hapa
www.appsapk.com/io-launcher/
Launcher hii kitu nimeipenda ni kwamba imechanganya OS mbili ambazo ni 1) lollipop android 5 na 2) ios 8 na kuipa sim yako mwonekano matata sana

* kwanza launcher hii inaipa sim coll setting shortcut. Ukianzia ndani ya notification bar(after expanded) na kwenye default home screen na pia inakua na side bar

uploadfromtaptalk1429127857052.jpg .
*imepakiwa na great ama naweza sema good looking interface pamoja na ivon pack flani amaizing (in platnumz tone)

uploadfromtaptalk1429127816388.jpg

* iko na its own battery server app pamoja na iboost

uploadfromtaptalk1429127771091.jpg
*gestures pia asee ni umcharo zaid kama yqngu nimeset nikiwa home screen nikiswipe kidole chini inafungua instagram nikiswipe juu inafunguka whats app
uploadfromtaptalk1429127736652.jpg


Pamoja na kua na in app purchase nyingi ila nakuhakikishia free package zilizopo ni enough kabisa
Asanten na karibun tena soon ntawaletea ingine
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1429127794356.jpg
    uploadfromtaptalk1429127794356.jpg
    24.5 KB · Views: 847
KAWAIDA sana mkuu mi uwa sipendi icon inaonyesha alama ya kitabu katika phone book au alama ya mkonga wa simu sehemu ya kupigia simu,napenda mtu akicheki simu yangu asijue icon ipi inaonyesha messeji,kupiga simu nk mimi natumia APUS ina Theme Lunar new year nimeipenda sana
 
KAWAIDA sana mkuu mi uwa sipendi icon inaonyesha alama ya kitabu katika phone book au alama ya mkonga wa simu sehemu ya kupigia simu,napenda mtu akicheki simu yangu asijue icon ipi inaonyesha messeji,kupiga simu nk mimi natumia APUS ina Theme Lunar new year nimeipenda sana

Unaweza kucheng ivone kwamba ya kupiga sim ukaweka iwe kalkuleta alafu kalenda labda ndo meseji
 
Huwa najaribu sana hizi loucher.but mwisho wa siku narudia ileile apexlouncher.maana sijawahi kuona inayoweza kuipiku.apex forever
 
Huwa najaribu sana hizi loucher.but mwisho wa siku narudia ileile apexlouncher.maana sijawahi kuona inayoweza kuipiku.apex forever

Ngoja nikaijaribu ikiwa tamu naitandikia uzi wake hapa mkuu
................
Update
................
Binafsi sjaipenda sijui wadau em jaribuni io apex launchee
 
Ngoja nikaijaribu ikiwa tamu naitandikia uzi wake hapa mkuu
................
Update
................
Binafsi sjaipenda sijui wadau em jaribuni io apex launchee
Ninachoipeñdea hii louncher..ni;
Kubadilisha rangi yeyote unayoipenda kwenye icon background,kuongeza au kupunguza ukubwa wa icon za app,kuondoa majina ya app..so sio rahisi mwingine kuijua,kingine kikubwa zaidi ni kuwa na uwezo wa kuweka app 108 kaika page 1.na mengine kibao.viva apex Screenshot_2015-04-21-08-12-45.png (131.0 KB) Screenshot_2015-04-14-08-31-22.png (137.3 KB
 

Attachments

  • Screenshot_2015-04-21-08-12-45.png
    Screenshot_2015-04-21-08-12-45.png
    41.6 KB · Views: 378
  • Screenshot_2015-04-14-08-31-22.png
    Screenshot_2015-04-14-08-31-22.png
    45.9 KB · Views: 364
Ninachoipeñdea hii louncher..ni;
Kubadilisha rangi yeyote unayoipenda kwenye icon background,kuongeza au kupunguza ukubwa wa icon za app,kuondoa majina ya app..so sio rahisi mwingine kuijua,kingine kikubwa zaidi ni kuwa na uwezo wa kuweka app 108 kaika page 1.na mengine kibao.viva apex Screenshot_2015-04-21-08-12-45.png (131.0 KB) Screenshot_2015-04-14-08-31-22.png (137.3 KB

Mkuu naona unasukuma pool master pro kama mimi ilo gemu limeniloga asee nalipendaje?
 
Ninachoipeñdea hii louncher..ni;
Kubadilisha rangi yeyote unayoipenda kwenye icon background,kuongeza au kupunguza ukubwa wa icon za app,kuondoa majina ya app..so sio rahisi mwingine kuijua,kingine kikubwa zaidi ni kuwa na uwezo wa kuweka app 108 kaika page 1.na mengine kibao.viva apex Screenshot_2015-04-21-08-12-45.png (131.0 KB) Screenshot_2015-04-14-08-31-22.png (137.3 KB

nafikiri ungeiona nova launcher ungeikubali sana
 
Wakuu mm nikidownload app yoyote inagoma kuinstall, nifanyeje ili ni install bila tatizo?
 
Back
Top Bottom